Ipo Wapi Kigamboni Housing Estate?

NHC inajivunia kuwaletea nyumba za bei nafuu zilizoko ndani ya eneo tulivu la Kibada. Kigamboni Housing Estate ipo Kigamboni katika eneo linalofikika kirahisi, kilomita 17 kutoka Feri. Kigamboni Housing Estate ni mradi wa nyumba 182 zilizopangwa kwa kuzingatia vigezo vya miji ya kisasa yenye huduma za msingi zikiwemo sehemu za kuchezea watoto na shughuli mbalimbali za jumuiya, barabara pana inayotoa fursa kwa watembea kwa miguu na baiskeli kuwa huru vilevile, imezingatia nafasi ya miundombinu kama vile mitaro na umeme.

 

 

 

Utaratibu wa Ununuzi(Bonyeza kuipata)

 

Company Profile

The current NHC is the outcome of the decision of the Government to dissolve the Register of building (RoB) through Act of Parliament No.2 of 1990, which vested its responsibilities with the NHC.

Customer Start-up Kit
Contact Information
National Housing Corporation
P.O Box 2977,Dar es salaam-Tanzania
Hotline: 255 (754) 444 333
Fax: 255 (22) 285 1442
E-mail: sales@nhc.co.tz

 

NHC Facebook page and Youtube page