NAIBU WAZIRI PINDA ATAKA NHC IWE YA KIMATAIFA KWA KUCHUKUA FURSA YA UJENZI WA BALOZI NJE YA NCHI

Machi 22, 2023, Ziara ya Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geofrey Mizengo Pinda aliyoifanya katika Shirika la Nyumba la Taifa, Amelitaka shirika liwe la kimataifa zaidi kwa kuchangamkia fursa ya ujenzi wa majengo ya Balozi nje ya nchi kwani Serikali inamiliki mapande makubwa ya ardhi huko ambayo bado hayajafanyiwa kazi ipasavyo.

Please wait while flipbook is loading. For more related info, FAQs and issues please refer to DearFlip WordPress Flipbook Plugin Help documentation.


KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MRADI WA TANZANITE

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa – NHC kwa hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa jengo la Soko la Madini ya Tanzanite unaotekelezwa katika Mji mdogo wa Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara., Machi 18, 2023.

Please wait while flipbook is loading. For more related info, FAQs and issues please refer to DearFlip WordPress Flipbook Plugin Help documentation.

NHC, ABSA Tanzania Zatiliana Saini Ushirikiano

Februari 17, 2023, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mheshimiwa Dkt.Angeline Mabula aliposhuhudia utiaji saini makubaliano ya mikopo ya nyumba kati ya NHC na Bank ya ABSA ambapo Waziri Mabula amesema,dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan ni kuona sekta binafsi nchini inashirikiana na Serikali katika kutekeleza miradi mbalimbali yenye manufaa kwa wananchi na Taifa kwa ujumla.

Please wait while flipbook is loading. For more related info, FAQs and issues please refer to DearFlip WordPress Flipbook Plugin Help documentation.


NHC Kuzindua Sera Ya Ubia

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu akiwasilisha taarifa katika Uzinduzi wa Sera ya Ubia ya NHC katika uzinduzi wa sera hiyo kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere jijini Dar es salaam, Novemba 16, 2022.

Please wait while flipbook is loading. For more related info, FAQs and issues please refer to DearFlip WordPress Flipbook Plugin Help documentation.

Visit Now..!

NHC Intends to embarks in development of 1000 housing-units project in Dodoma

Iyumbu area for sale and Chamwino area for lease
Visit Now..!